Friday, December 9, 2016

Naibu Waziri ashiriki maadhimisho ya siku ya Kitaifa ya Japan


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba akisalimiana na Balozi wa Japan nchini, Tanzania Mhe. Masaharo Yoshida mara alipowasili kushiriki hafla fupi ya maadhimisho ya siku ya Japan iliyofanyika  nyumbani kwa Balozi huyo Oysterbay, Jijini Dar es Salaam 
Mkurugenzi na Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Mhe. Masaharn Yoshida alipowasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kushiriki hafla fupi ya maadhimisho ya siku ya Japan
Kutoka kulia; Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi, Naibu Waziri Mhe.Dkt. Susan Kolimba na Balozi wa Japan nchini Mhe.Masaharo Yoshida wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Taifa unapigwa
Balozi wa Japan nchini Mhe.Masaharo Yoshida akiongea na hadhira iliyohudhuria hafla ya siku ya Japan 
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akiongea na hadhira iliyohudhuria hafla hiyo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.