Friday, December 30, 2016

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Naibu Balozi wa China nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Aziz Mlima akizungumza na Naibu Balozi wa China nchini, Bw. Gou Haudong alipofika Wizarani kwa ajili ya kuzungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na China.
Sehemu ya ujumbe kutoka Ubalozi wa China nchini ukifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mlima na Bw. Gou (hawapo pichani)

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Emmanuel Luangisa (kushoto) akiwa na Bw. Humphrey Shangarai, Afisa Mambo ya Nje nao wakifuatilia mazungumzo
Bw. Gou akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Balozi Mlima.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.