Wednesday, December 14, 2016

Wizara ya Mambo ya Nje yapokea kifaa cha kutunza data za mtandao kutoka IOM

Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Balozi Joseph Sokoine (katikati) akimwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  kupokea kifaa cha kulinda na kutunza data za mtandao (router) za   Wizara kutoka kwa Mwakilishi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) nchini Tanzania, Bw. Qasim Sufi ( kulia)Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Anisa Mbega.
 Balozi Sokoine (katikati) akizungumza na Bw. Sufi mara baada ya kupokea kifaa cha kutunza na kulinda data za mtandao wa Wizara (Router)
Balozi Mbega naye akichangia jambo wakati wa mazungumzo hayo
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.