Thursday, December 8, 2016

Naibu Waziri akutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akisalimiana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Bi. Virginia M. Blaser walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Bi.Virginia M. Blaser walipokutana Wizarani mapema leo asubuhi.

Naibu Waziri Mhe. Dkt. Susan Kolimba akimsikiliza Kaimu Balozi wa Marekani Bi. Virgnia M Blaser walipokutana kwa mazungumzo Wizarani
Balozi Joseph Sokoine (wa kwanza kulia) akifafanua jambo wakati wa mazungumzo 
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.