Monday, July 23, 2018

Naibu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje aongoza maadhimisho ya siku ya Taifa la Misri

Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Msri nchini,  Mhe. Mohamed Yassin El Shawaf akimkaribisha mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan M. Mwinyi katika Sherehe ya Kitaifa ya Misri iliyofanyika kwenye Makazi ya Balozi, Barabara ya Kingsway, Osterbay jijini Dar es Salaam. Kulia kwa Naibu Katibu Mkuu, ni Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bw. Valentino Mlowola na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Makamba Dahari (kushoto kwa Naibu Katibu Mkuu)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Ramadhan M. Mwinyi akisikiliza hotuba ya Balozi wa Misri Mhe. Mohamed Yassin El Shawaf wakati wa maadhimisho ya siku ya taifa la Misri
Viongozi mashuhuri waliohudhuria sherehe hiyo ni pamoja na Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Salim Ahmed Salim, Waziri Mkuu Mstaafu na Bw. Valentino Mlowola, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU wakiwa katika meza moja na Naibu Katibu Mkuu na Balozi El Shawaf
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.