Friday, November 23, 2012

Mkurugenzi wa Idara ya Asia akutana kwa mazungumzo na Balozi wa India nchini

Balozi Mbelwa Kairuki, Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa katika mazungumzo kuhusu ushirikiano kati ya Tanzania na India na Mhe. Debnath Shaw, Balozi wa India hapa nchini.

Balozi Shaw akielezea jambo huku Balozi Mbelwa akimsikiliza.
Balozi Mbelwa (wa pili kutoka kulia) akifafanua jambo kwa Balozi Shaw (wa pili kutoka kushoto) wakati wa mazungumzo yao. Wengine katika picha ni Bw. Kunal Roy (kushoto), Afisa kutoka Ubalozi wa India hapa nchini na Bi. Redemptor Tibaigana (kulia), Afisa kutoka Idara ya Asia na Australasia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa.
Balozi Mbelwa akiagana na Balozi Shaw mara baada ya kumaliza mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.