Wednesday, June 27, 2018

Katika picha; Taswira ya jengo la Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani (OSBP) cha Tunduma


Mwonekano wa jengo la Tunduma OSBP kwa upande mbele (upande wa kuingilia)
Mwonekano wa jengo la Tunduma OSBP kwa upande wa kuingilia
Mwonekano wa jengo la Tunduma OSBP kwa upande wa kutokea (kuelekea Nakonde, Zambia)

Mwonekano wa jengo la Tunduma OSBP kwa ndani





Baadhi ya vifaa vya ujenzi vikiwa kazini.

Kamati ya ujenzi wa Tunduma OSBP ikiwa kwenye kikao cha kutathimini maendeleo ya ujenzi kilichofanyika katika moja ya ukumbi wa mikutano uliopo kwenye jengo hilo hivi karibuni.

Kamati ya ujenzi ikitembelea sehemu ya eneo la kuegesha magari ambalo ujenzi wake bado unaendelea
Kamati ya ujenzi ikiangalia maendeleo ya ujenzi wa ghala la kuhifadhia bidhaa katika kituo hicho.
Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani (OSBP) cha Tunduma, mpaka kati ya Tanzania na Zambia umekamilika kwa takribani 95%. 

Ujenzi wa Kituo hiki unatarajiwa kuboresha mazingira ya biashara baina ya nchi hizi mbili (Tanzania/Zambia). 

Ujenzi wa mradi huu ulioanza mwaka 2016 umechukua ukubwa wa eneo linalokadiriwa kuwa na takriban kilomita za mraba 43,000.

Ujenzi wa mradi huu unafadhiliwa na shirika la TradeMark  East Afrika.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.