Saturday, June 2, 2018

Umoja wa Mataifa wawatunukia Watanzania medali ya walinda amani

Mhe.Balozi Modest J. Mero (katikati) Mwakilishi wa Kudumu wa  Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, akionesha medali aliyoipokea kutoka Umoja wa Mataifa kwa niaba ya Watanzania walioshiriki katika shughuli za ulinzi wa amani.
Muonekano wa medali

Mhe.Balozi Modest J. Mero (katikati) Mwakilishi wa Kudumu wa  Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa akiwa katika picha mara baada ya kupokea medali


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.