Sunday, May 24, 2020

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salam za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano,Dayosisi ya Dar es Salaam ikiwa ni kilele cha siku tatu ya shukrani kwa Mungu baada ya maambukizi ya virus vya Corona kupungua nchini.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salam za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano,Dayosisi ya Dar es Salaam ikiwa ni kilele cha siku tatu ya shukrani kwa Mungu baada ya maambukizi ya virus vya Corona kupungua nchini.

Baadhi ya waumini wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano Dayosisi ya Dar es Salaam,wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) wakati akitoa salam za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano,Dayosisi ya Dar es Salaam ikiwa ni kilele cha siku tatu ya shukrani kwa Mungu baada ya maambukizi ya virus vya Corona kupungua nchini

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.