Thursday, April 1, 2021

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WATEULE WAAPA KUWA WABUNGE WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA



Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberatha Mulamula akiapa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Naibu Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akiapa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania






 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.