Thursday, December 15, 2022

BALOZI SIRRO AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA ZIMBABWE

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Simon Sirro amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa, Ikulu Zimbabwe.

Julai 20, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Simon Sirro akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa, Ikulu Zimbabwe

Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Simon Sirro Ikulu Zimbabwe baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho

Picha ya pamoja 



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.