Saturday, August 12, 2023

DKT. KIKWETE AHIMIZA AMANI KATIKA NCHI ZA SADC

 
Rais Mstaafu wa Awamu ya NNne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasilisha mada kuhusu Amani na Usalama kama msingi wa kufikia maendeleo ya kweli katika nchi za Kusini mwa Afrika. Mada hiyo iliwasilishwa kwenye Chuo cha Diplomasia cha Angola ikiwa ni moja ya matukio ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika Luanda, Angola kuanzia tarehe 08 hadi 17 Agosti 2023. Wengine katika picha ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Msumbiji, Mhe. Luisa Diogo (kulia) na Katibu Mtendaji wa Zamani wa SADC, Mhe. Tomaz Salomão 

Wahuriki wakisikiliza mada kuhusu Amani na Usalama kama msingi wa kufikia maendeleo ya kweli katika nchi za Kusini mwa Afrika iliyokuwa ikiwasilishwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya NNne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Chuo cha Diplomasia cha Angola ikiwa ni moja ya matukio ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika Luanda, Angola kuanzia tarehe 08 hadi 17 Agosti 2023

Washiriki wakisikiliza mada

Rais Mstaafu wa Awamu ya NNne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (mwenye tai nyekundu) akiwa na ujumbe wa Tanzania ulioshiriki katika Mhadhara wa Umma ambao aliwasilisha mada kuhusu Amani na Usalama kama msingi wa kufikia maendeleo ya kweli katika nchi za Kusini mwa Afrika






No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.