Sunday, January 5, 2014

Viongozi wa Serikali wajumuika kutoa mkono wa pole na kuuaga mwili wa Dkt. William Mgimwa


Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiweka saini Kitabu cha Maombolezo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. William Mgimwa, wakati wa kutoa heshima za mwisho leo kwenye Viwanja vya Karimjee Hall, jijini Dar es Salaam.  (Picha na Ikulu)

Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimfariji mjane wa marehemu na familia yake. (Picha na Ikulu)

Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisaini Kitabu cha Maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. WilliamMgimwa, nyumbani kwa marehemu Mikocheni B, jana jijini Dar es Salaam.  (Picha na OMR)


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Bibi Jane Katingo, Mama Mzazi wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa, wakati alipokwenda nyumbani kwa marehemu huyo kutoa mkono wa pole leo na kuangalia maandalizi ya mazishi katika Kijiji cha Magunga, Iringa.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Mhe. Waziri Bernard K. Membe (Mb) (wa pili kushoto), wakiwa wamebeba sanduku lenye mwili wa marehemu Dkt. William Mgimwa leo kwenye Viwanya vya Karimjee Hall, jijini Dar es Salaaam.  Mazishi yanatarajiwa kufanyika Jumatatu tarehe 6 Januari, 2014 Mkoani Iringa. (Picha na Ikulu)


Friday, January 3, 2014

WANADIASPORA WA MAREKANI WAWASILISHA MAJINA YAO KWENYE BUNGE LA KATIBA



MAJINA YA WANADIASPORA WA MAREKANI YALIOWASILISHWA KWENYE BUNGE LA KATIBA

Dear All,

I am happy to report to you that, we were able to meet the deadline of submitting 9 names to the President’s Office in Dare s Salaam, to be included in the coming Special Parliament Session for Constitutional Review. The following individuals were selected based on:
  • Prior involvement on Constitutional Review matters
  • Be able to be in Tanzania during the Parliament session
  • Gender and geographical representation from all States in the USA
  • Balance in their professions

The names that made to the list are (in alphabetical order based on their first names): 
  1. Mr. Alfred U. Nkunga, P.E - Texas
  2. Ms. Asha Nyang'anyi, M.Sc - Maryland
  3. Mr. Charles Musiba, Ph.D - Colorado
  4. Mr. Eustace Kaijage, Ph.D - Illinois
  5. Mr. Kadari Singo, M.B.A. - California
  6. Ms. Neema M. Johnson - Missouri
  7. Mr. Revocatus M. Kalege, M.B.A - Minnesota
  8. Ms. Sozina D. Katuli, Dr. PH - California
  9. Ms. Swigah Mwakipake, LLM - Tennessee
We are thankful for those who submitted their information to us, they were all equally qualifying, but we were supposed to come up with only 9 names.

Let us wait to hear from the President’s Office in Dar es Salaam on who will make to the final list.

With Kind Regards,

Dr. Ndaga Mwakabuta,
DICOTA President

Source:  vijimambo blog

Tanzania Freight Forwarders Association visit the Ministry of Foreign Affairs


Hon. Dr. Mahadhi Juma Maalim (MP) (left-seated), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation today met with the members of the Tanzania Freight Forwarders Association and the Zanzibar Freight Forwarders Bureau, who had just paid a courtesy visit at his office in Dar es Salaam. The team discussed with the Deputy Minister about challenges and business opportunities that exist in their agencies, including membership opportunities in different international organizations that deal with matters related to freight forwarders. 

A group photo of Deputy Minister Mahadhi Juma Maalim that include Mr. Ahmed S. Nassoro (left-seated), Secretary General of the Zanzibar Freight Forwarders Bureau, Mr. Stephen J. Ngatunga (2nd right-seated), President of the TAFFA, Mr. Shaban Geva (left-standing), National Treasurer, Ms. Naomi Zegezege (2nd left-standing), Foreign Service Officer (Legal Department) in the Ministry of Foreign Affairs and Mr. Solomon A. Kasa (center-standing), Secretary General of the TAFFA.


 All photos by Tagie Daisy Mwakawago