Wednesday, April 3, 2024

WAZIRI WA DENMARK ATEMBELEA KIWANDA CHA CHEMI AND COTEX

Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo wa Denmark Mhe. Dan Jorgensen akisikiliza maelezo alipowasili katika Kiwanda cha Chemi and Cotex cha jijini Dar es salaam na kujionea jinsi Wafanyakazi wenye ujuzi wa kiwanda hicho wanavyotekeleza shughuli zao za kila siku kiwandani hapo.

Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo wa Denmark Mhe. Dan Jorgensen akielekea ndani ya Kiwanda  Chemi and Cotex cha jijini Dar es salaam alipotembelea kiwanda hicho kujionea jinsi Wafanyakazi wenye ujuzi wa kiwanda hicho wanavyotekeleza shughuli zao za kila siku kiwandani hapo.

Wafanyakazi wa Kiwanda cha Chemi and Cotex cha jijini Dar es salaam wakiendelea na kazi wakati Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo wa Denmark Mhe. Dan Jorgensen alipotembelea  kiwanda hicho



kiwandani humo




Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo wa Denmark Mhe. Dan Jorgensen ametembelea Mhe. Dan Jorgensen ametemebelea Kiwanda cha Chemi and Cotex cha  jijini Dar es salaam na kujionea jinsi Wafanyakazi wenye ujuzi wa kiwanda hicho wanavyotekeleza shughuli zao za kila siku kiwandani hapo.


Kiwanda cha Chemi and cotex kimeajiri wanawake na vijana zaidi ya 200 ambao ni wanufaika wa mafunzo ya ufundi  na hivyo kuwapatia ujuzi wanawake na vijana wa Kitanzania ikiwa ni sehemu ya kuongeza ajira na kuboresha
hali za maisha yao.

Mhe. Jorgensen ametembelea sehemu zinazozalisha bidhaa mbalimbali za Kiwanda hicho na kuelezea kuridhishwa kwake na ujuzi walionao watumishi wa Kiwanda hicho

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.