Friday, July 27, 2012

Mhe. Waziri Membe kukutana na Waziri toka Malawi

Mhe. Bernard K. Membe (MB), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania leo anakutana na Waziri mwenzake kutoka Malawi.  

Aidha, katika Mkutano wao, Mawaziri hao watazungumzia masuala ya uhusiano kati ya nchi hizi mbili.


Wandishi wa Habari mtapata taarifa za yaliyojiri katika Mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.