Friday, July 6, 2012

Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi

Leo asubuhi tarehe 6 Julai, 2012, Mhe. Bernard Membe(MB), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa atafungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Mkutano huo unafanyika katika Hoteli ya JB Belmont iliyopo Benjamin Mkapa Tower jijini Dar es salaam. Ufunguzi unaanza saa tatu kamili asubuhi. Waandishi mnakaribushwa

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.