Thursday, May 19, 2022

Balozi wa Tanzania, Kuwait Awasilisha Hati za Utambulisho

Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Mhe. Said Mussa akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Naibu Amiri na Mwanamfalme wa Kuwait, Sheikh Mishal Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah jijini Kuwait. 
Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Mhe. Said Mussa akiwa katika mazungumzo na Naibu Amiri na Mwanamfalme wa Kuwait, Sheikh Mishal Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah jijini Kuwait baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho. 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.