Thursday, May 26, 2022

Canada Yaahidi Kushirikiana na Tanzania




Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk N. Mbarouk akiwa katika mazungumzo na  Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam



 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk N. Mbarouk na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wao baada ya mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akiwa katika mazungumzo na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam

Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant  akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye

Ujumbe wa Tanzania katika ukifuatilia mazungumzo kati ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant. Wakwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mindi Kasiga na anayefuatia ni Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Bi. Talha Mohammed

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wao baada ya mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima akiwa katika mazungumzo na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.

Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant  akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima jijini Dar Es Salaam.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na  Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam

Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mindi Kasiga akieleza jambo wakati wa mazungumzo kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima na  Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajimana  na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wao baada ya mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bibi Mary Makondo akiwa katika mazungumzo na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.

Ujumbe wa Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant ambaye unamjumuisha Balozi wa nchi hiyo hapa nchini, Mhe. Pamela O'Donnell (wa kwanza kulia) ukifutatilia mazungumzo kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bibi Mary Makondo na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant

Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant  akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bibi Mary Makondo

Mazungumzo kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bibi Mary Makondo na Katibu wa Bunge wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Robert Oliphant yanaendelea.







 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.