Sunday, May 1, 2022

WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WALIVYOSHIRIKI MEI MOSI JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma tarehe 01 Mei 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi ya Shilingi milioni tatu, Bi. Pamela Yegela, Msaidizi wa Mtendaji Mkuu ambaye ni Mfanyakazi Hodari wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa mwaka 2022

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiingia kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa furaha wakati wa maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
Sehemu nyingine ya Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye maadhimisho ya Mei Mosi jijiji Dodoma

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa na nyuso za furaha kuadhimisha siku ya Wafanyakazi Duniani 
Sehemu nyingine ya Wafanayakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika kitaifa jijini Dodoma

 
x

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.