Friday, February 8, 2013

Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa akutana na Mwakilishi Mkazi wa UN nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (kushoto) akizungumza masuala mbalimbali ya ushirikiano na Mwakilishi Mkazi wa Mashirika ya Kimataifa hapa nchini, Dkt. Alberic Kacou. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 8 Februari, 2013.
Balozi Mushy kulia akimsikiliza Dkt. Kacou wakati wa mazungumzo yao leo.
Dkt. Kacou akimsikiliza Balozi Mushy wakati wa mazungumzo yao leo. Mwingine katika picha ni Bi. Tunsume Mwangolombe, Afisa Mambo ya Nje akinukuu mazungumzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.