Friday, April 19, 2013

Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria akutana kwa mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Bodi ya AU kuhusu masuala ya Rushwa

Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju akimkaribisha Katibu Mtendaji wa Bodi ya Ushauri kuhusu Masuala ya Rushwa ya Umoja wa Afrika (African Union Advisory Board on Corruption-AUABC), Prof. Adolphe Lawson mara baada ya kuwasili Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu  mpango wa kuanzishwa kwa Makao Makuu ya AUABC Mkoani Arusha, Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 19 Aprili, 2013.

Balozi Irene Kasyanju akiwa katika mazungumzo na Prof. Lawson.


Prof. Lawson akimweleza jambo Balozi Kasyanju wakati wa mazungumzo yao.

Prof. Lawson (kushoto) akiendelea na mazungumzo na Balozi Kasyanju huku Bw. Benedict Msuya (kulia), Afisa Mambo ya Nje katika Kitengo cha Sheria akinukuu mazungumzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.