Thursday, April 25, 2013

Naibu Waziri akutana kwa mazungumzo na Rais wa Comoro

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (kulia), akisalimiana na Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe. Ikililou Dhoinine mara baada ya kuwasili kwenye Ikulu ya nchi hiyo. Mhe. Maalim alitembelea Comoro hivi karibuni kwa madhumuni ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.

Mhe. Maalim akizungumza na Mhe. Rais Dhoinine.

Mhe. Maalim (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Rais Dhoinine (katikati) mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.