Saturday, May 25, 2013

Maadhimisho ya miaka 50 ya OAU/AU yafana

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akimkabidhi Mkuu wa Mabalozi na Balozi wa DRC hapa nchini, Mhe. Juma Khalfan Mpango Mwenge wa Umoja wa Afrika (OAU/AU) kuashiria kuanza kwa maadhimisho ya miaka 50 ya Umoja huo yaliyofanyika katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam

"Brass Band" ikiongoza maandamano kutokea Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kuelekea Viwanja vya Karimjee kwa ajili ya kuadhimisha miaka 50 OAU/AU.

Mhe. Membe akishiriki maandamano hayo.

Mhe. Membe, Mabalozi, wananchi na wageni waalikwa wakiwa katika maandamano hayo kuadhimisha miaka 50 ya Umoja wa Afrika

Picha zaidi za maandamano.

Mhe. Membe akisikiliza Wimbo wa Taifa na AU zilizopigwa kuadhimisha miaka 50 ya umoja huo

Picha zaidi wakati wa wimbo wa Taifa

Mhe. Membe, Mabalozi, na Viongozi wengine  wakiangalia burudani kutoka vikundi mbalimbali vya utamaduni vilivyopamba maadhimisho hayo

Kikundi cha utamaduni kikitumbuiza.

Kikundi kingine cha burudani kilichopamba sherehe hizo.

Burudani ikiendelea.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.