Wednesday, May 29, 2013

Tanzania Yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi (Mb), akitoa hotuba katika sherehe ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani Duniani ilyofanyika kwenye Viwanja vya Mashujaa, Mnazi Mmoja, Dar es Salaam

Mwakilishi wa Bw. Alberic Kacou, Mratibu Mkazi wa UNDP nchini Tanzania, Bw. Richard Regan ambaye ni Mwakilishi wa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) nchini Tanzania naye akitoa hotuba katika sherehe hizo.
Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Mwakilishi kutoka Jeshi la Wananchi wakati wa sherehe hizo

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akisalimiana na wanajeshi waliowahi kulinda amani katika nchi mbalimbali duniani.

Bw. Nathaniel Kaaya, (R) Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akibadilishana Mawazo na Kaimu Balozi wa Uturuki wakati wa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani.

Picha zote na Reginald Philip Kisaka



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.