Wednesday, February 19, 2014

Makatibu Wakuu Zanzibar wapigwa msasa kuhusu mchakato wa uanzishwaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu.

Balozi Celestine Mushy (wa kwanza kushoto kwa waliokaa), Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa katika picha ya Pamoja na Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wa Serikali ya Zanzibar baada ya kikao cha IMTC. Balozi Mushy alitumia kikao hicho kuwasilisha mada kuhusu mchakato wa uanzishwaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa ambayo yatachukuwa nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia


Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Zanzibar (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mushy (kulia) na Balozi Silima Haji, Mkurugenzi wa Ofisi ya Mambo ya Nje Zanzibar mara baada ya kukamilika kikao cha IMTC.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.