Thursday, February 6, 2014

Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada atembelea Tanzania


 Waziri wa  Maendeleo  ya Kimataifa wa Canada, Mhe. Christian Paradis' (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya  Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Dora Msechu mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya siku mbili kuanzia tarehe  3-4 Februari, 2014. Akiwa nchini Mhe. Paradis atashiriki Kongamano kuhusu Afya ya Mama na Mtoto.
Mhe. Waziri   Paradis' (kulia) akisalimiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Benno Ndulu mara baada ya kuwasili nchini.
Balozi Msechu akibadilishana mawazo na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Alexandre Leveque
Balozi Msechu skizungumza na Mhe. Paradis mara baada ya kumokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Picha na Reginald Kisaka



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.