Thursday, February 6, 2014

Mhe. Rais Kikwete alipokutana na Waziri wa Maendeleo wa Canada

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada, Mhe. Christian Paradis mara baada ya Waziri huyo kuwasili Ikulu. Mhe. Paradis alitembelea Tanzania hivi karibuni kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya nchini hizi mbili.
Mhe. Rais Kikwete akisalimiana na Balozi wa Canada hapa nchini Mhe. Alexandre Leveque.
Mhe. Rais Kikwete katika mazungumzo na Mhe. Paradis.
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Paradis pamoja na Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) (wa kwanza kulia), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb.), (wa pili kulia), Waziri wa Fedha, Balozi wa Canada hapa nchini, Mhe. Leveque (wa kwanza kushoto) na Wajumbe wengine.

Picha na Reginald Kisaka.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.