Tuesday, February 25, 2014

Meya wa Mji wa Vallejo wa Marekani awasili nchini

Meya wa Mji wa Vallejo nchini Marekani, Mhe. Osby Davis (kushoto) akisalimiana na Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Mhe. Didas Masaburi mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi. Mji wa Vallejo una uhusiano wa udada na Mji wa Bagamoyo
Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Dora Msechu akisalimiana na mmoja wa wajumbe waliofuatana na Meya Davis kutoka Vallejo nchini Marekani.
Meya Davis na ujumbe wake wakimsikiliza Balozi Msechu wakati  akifafanua jambo kwao huku Mhe. Masaburi nae akisikiliza.
Mhe. Masaburi akiwapatia maelezo Mhe. Davis na ujumbe wake.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.