Wednesday, August 26, 2015

Katibu Mkuu na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Uturuki wasaini mkataba

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Libarata Mulamula kwa pamoja na  Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Uturuki, Bw. Ziya  Karaham (kushoto) wakisaini mkataba ili kumwezesha Bw. Karaham kuendelea kuiwakilisha Tanzania nchini Uturuki. Mkataba huo ulisainiwa Wizarani tarehe 25 Agosti, 2015.
Balozi Mulamula na Bw. Karaham wakibadilishana mkataba huo mara baada ya kuusaini
Balozi Mulamula akiagana na Bw. Karaham.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.