Friday, August 7, 2015

Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika akutana na Ujumbe wa EU nchini

Mkurugenzi Idara ya  Ulaya na Amerika katika Wizara ya  Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine akimsikiliza Balozi wa Ujerumani nchini, Mhe. Egon Kochanke alipokuwa akiongea kwa niaba ya Mabalozi wa Umoja wa  Ulaya (EU) walipokutana kwa mazungumzo Wizarani hivi karibuni.
Sehemu ya Ujumbe huo kutoka Umoja wa Ulaya hapa wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Sokoine na Balozi Kochanke
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda,  Bw. Innocent Shio (wa pili kutoka kushoto) akiwa na Bi. Grace Martin, na Bi. Shamim Khalfan, Maafisa Mambo ya Nje (kulia) wakifuatilia kwa makini mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea kati ya Balozi Sokoine na Balozi Kochanke (hawapo pichani).
Afisa Mambo ya Nje, Bi Felista Rugambwa (wa kwanza kushoto) akinukuu mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea kwenye Mkutano huo.
Mkutano ukiendelea


Picha na Reginald Philip.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.