Wednesday, December 19, 2018

Ujenzi wa Ofisi ya Wizara Ihumwa, Dodoma washika kasi

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wametembelea na kujionea maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Wizara hiyo kwenye Mji wa Kiserikali katika eneo la Ihumwa jijini Dodoma. Ujenzi wa Ofisi hizo zinatarajiwa kumalizika ifikapo mwezi mosi mwakani.
Mkandarasi Mkuu wa Ujenzi wa Ofisi za Wizara ya Mambo ya  Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akielezea maendeleo ya ujenzi huo kwa Wakuu wa Idara na Vitengo walitembelea eneo hilo
Juu na Chini  sehemu ya Wakuu wa Idara na Vitengo wakimsikiliza kwa makini Mkandarasi Mkuu alipokuwa akiwaelezea maendeleo ya ujenzi huo.
Juu na Chini Wakuu wa Idara na Vitengo wakijionea maendeleo ya ujenzi 









No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.