Friday, December 21, 2018

Katibu Mkuu akutana na Watumishi wa Wizara

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe akizungumza kwenye kikao cha kwanza na Watumishi wote wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo. Pamoja na mambo mengine, Dkt. Mnyepe aliwataka Watumishi wa Wizara kufanya kazi kwa kufuata miongozo na kutekeleza majukumu yao kwa bidii, weledi na uzalendo. Mkutano huo umefanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano uliopo kwenye Ofisi za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali uliopo jijini Dodoma tarehe 21 Desemba 2018. Wengine katika picha ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara, Balozi Ramadhan M. Mwinyi (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bi. Savera Kazaura.
Sehemu ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushiriano wa Afrika Mashariki wakimsikiliza Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe (hayupo pichani)


Sehemu ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushiriano wa Afrika Mashariki wakimsikiliza Katibu Mkuu


Baadhi ya Wakurugenzi na Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe (hayupo pichani)
Naibu Katibu Mkuu, Balozi Mwinyi akichangia jambo wakati wa kikao kati ya Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe na Watumishi wa Wizara


Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Balozi Mwinyi (hayupo pichani)
Sehemu nyingine ya Watumishi wakiwa kwenye kikao kati yao na Katibu Mkuu


Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia matukio wakati wa kikao kati yao na Katibu Mkuu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Mnyepe akiwaonesha Watumishi wa Wizara (hawapo pichani) nyaraka ambazo ni miongozo wanayotakiwa kuifuata katika utekelezaji wa majukumu yao.
Watumishi wa Wizara kwenye kikao hicho
Watumishi wengine wa Wizara wakiwa kwenye kikao hicho
Kikao kikiendelea
Kikao kikiendelea


Watumishi wa Wizara wakifuatilia kikao kati yao na Katibu Mkuu 
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Kikao kikiendelea
Watumishi kutoka Idara na Vitengo mbalimbali wakifuatilia kikao
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kwenye kikao na Katibu Mkuu wa Wizara (hayupo pichani)
Wakurugenzi wa Wizara wakifuatilia kikao kati ya  Katibu Mkuu na Watumishi wa Wizara

Baadhi ya Watumishi wa Wizara wakiwa kwenye kikao

Sehemu nyingine ya Watumishi wa Wizara
Watumishi wa Wizara wakifuatilia kikao
Watumishi wa Wizara wakisikiliza maelekezo 
Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bi. Savera Kazaura akizungumza wakati wa kikao cha Watumishi wa Wizara na Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe (kulia)
Sehemu ya Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Utawala (hayupo pichani) 
Kikao kikiendelea huku Watumishi wa Wizara wakifuatilia kwa makini

Juu na chini ni sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki walioshiriki kikao kati yao na Katibu Mkuu
Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe akiagana na Watumishi mara baada ya kumaliza kikao

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.