| Sehemu ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushiriano wa Afrika Mashariki wakimsikiliza Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe (hayupo pichani) |
| Sehemu ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushiriano wa Afrika Mashariki wakimsikiliza Katibu Mkuu |
| Baadhi ya Wakurugenzi na Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe (hayupo pichani) |
| Naibu Katibu Mkuu, Balozi Mwinyi akichangia jambo wakati wa kikao kati ya Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe na Watumishi wa Wizara |
| Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Balozi Mwinyi (hayupo pichani) |
| Sehemu nyingine ya Watumishi wakiwa kwenye kikao kati yao na Katibu Mkuu |
| Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia matukio wakati wa kikao kati yao na Katibu Mkuu |
| Watumishi wa Wizara kwenye kikao hicho |
| Watumishi wengine wa Wizara wakiwa kwenye kikao hicho |
| Kikao kikiendelea |
| Kikao kikiendelea |
| Watumishi wa Wizara wakifuatilia kikao kati yao na Katibu Mkuu |
| Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki |
| Kikao kikiendelea |
| Watumishi kutoka Idara na Vitengo mbalimbali wakifuatilia kikao |
| Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kwenye kikao na Katibu Mkuu wa Wizara (hayupo pichani) |
| Wakurugenzi wa Wizara wakifuatilia kikao kati ya Katibu Mkuu na Watumishi wa Wizara |
| Baadhi ya Watumishi wa Wizara wakiwa kwenye kikao |
| Sehemu nyingine ya Watumishi wa Wizara |
| Watumishi wa Wizara wakifuatilia kikao |
| Watumishi wa Wizara wakisikiliza maelekezo |
| Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bi. Savera Kazaura akizungumza wakati wa kikao cha Watumishi wa Wizara na Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe (kulia) |
| Sehemu ya Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Utawala (hayupo pichani) |
| Kikao kikiendelea huku Watumishi wa Wizara wakifuatilia kwa makini |
| Juu na chini ni sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki walioshiriki kikao kati yao na Katibu Mkuu |
| Katibu Mkuu, Dkt. Mnyepe akiagana na Watumishi mara baada ya kumaliza kikao |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.