Friday, December 7, 2018

Watanzania wanogesha maonyesho ya 19 ya Jua Kali/ Nguvu Kazi


Juu na Chini ni Wajasiriamali wa Tanzania wakionesha bidhaa zao katika maonesho ya 19 ya Afrika Mashariki ya Jua Kali/Nguvu Kazi yanayofanyika katika Kaunti ya Uasin Gishu jijini Eldoret nchini Kenya. Kiasi cha Wajasirimali  wa Tanzania 250 waliwasili  mjini humo kwa ajili ya kushiriki maonesho  hayo.



Wananchi mbalimbali waliojitokeza kwenye maonyesho hayo wakionekana wakifurahia bidhaa za wajasiriamali zilizozalishwa na Watanzania wakati walipoyatembelea mabanda ya Tanzania katika maonesho ya 19 ya Jua Kali/Nguvu Kazi yanayoendelea jijini la Eldoret nchini Kenya.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.