Thursday, August 5, 2021

BALOZI MULAMULA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA QATAR

 Na Mwandishi wetu, Dar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Mhe. Hussain Ahmad Al Homaid leo Jijini Dar es Salaam.

Pamoja na mambo mengine, viongozi hao walijadili masuala ya kuimraisha uhusiano wa kidiplomasia, kuendeleza biashara na uwekezaji katika sekta za sekta za Madini, Utalii, pamoja na Mafuta na Gesi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimkaribisha Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al Homaid leo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

   Mazungumzo baina ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al Homaid yakiendelea

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiongea na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al Homaid leo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam 

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula pamoja na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al Homaid wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara pamoja na Ubalozi wa Qatar


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.