Wednesday, August 11, 2021

RAIS WA ETHIOPIA MHE. SAHLE - WORK ZEWDE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI MULAMULA ADDIS ABABA - ETHIOPIA

Rais wa Ethiopia Mhe. Sahle – Work Zewde akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula(Mb).

Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za Rais Zewde, Addis Ababa, Ethiopia 11 Agosti,2021.


Rais wa Ethiopia Mhe. Sahle – Work Zewde akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula(Mb) mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi za Rais Zewde, Addis Ababa, Ethiopia 11 Agosti,2021.

Rais wa Ethiopia Mhe. Sahle – Work Zewde akiwa katika ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula(Mb) mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi za Rais Zewde, Addis Ababa, Ethiopia. 11 Agosti,2021. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Naimi Azizi na Kushoto kwa Rais Zewde ni Kaimu Balozi wa Ethiopia Bi Elizabeth.
 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.