Wednesday, August 25, 2021

Mabalozi wa Chile, Colombia, Guinea, Australia, Belarus, Burkina Faso na Czech wawasilisha Nakala za Hati za Utambulisho

Balozi Mteule wa Colombia nchini Mhe. Monica Greiff Lindo mwenye makazi yake nchini Kenya akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021 

Balozi Mteule wa Guinea nchini Mhe. Gaoussou Toure mwenye makazi yake nchini Ethiopia akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021

Balozi Mteule wa Chile nchini Mhe. Maria Alejendra Ferraz de Andrade mwenye makazi yake nchini Kenya akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021

Balozi Mteule wa Burkina Faso nchini Mhe. Madina Diaby Kassamba Ganou mwenye makazi yake nchini Kenya akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021

Balozi Mteule wa  Australia nchini Mhe. Luke Joseph Williams mwenye makazi yake nchini Kenya akiwasilisha nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021

Balozi Mteule wa Czech nchini Mhe. Martin Kleptko mwenye makazi yake nchini Kenya akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021

Balozi Mteule wa  Belarus nchini Mhe. Pavel Vziatkin mwenye makazi yake nchini Kenya akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega kwenye ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam tarehe 25 Agosti 2021

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.