Thursday, August 26, 2021

MABALOZI WATEULE WAWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS SAMIA

Balozi wa Nigeria hapa nchini Mhe. Hamisu Umar Takalmawa akiwasilisha Hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 25, 2021 

                      

               

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Nigeria hapa nchini Mhe. Hamisu Umar Takalmawa mara baada ya kupokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi huyo Ikulu Jijini Dar es Salaam  Agosti 25,2021


Balozi wa India hapa nchini Mhe. Binaya Srikanta Pradhan akiwasilisha Hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 25,2021 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa India hapa nchini Mhe. Binaya Srikanta Pradhan, mara baada ya kupokea Hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi huyo Ikulu Jijini Dar es Salaam  Agosti 25,2021




 Balozi wa Uholanzi hapa nchini Mhe. Wiebe Jokob De Boer akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kupokea Hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi huyo Ikulu Jijini Dar es salaam Agosti 25, 2021


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Uholanzi hapa nchini Mhe. Wiebe Jokob De Boer m ara baada ya kuwasilisha Hati za utambulisho Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 25, 2021 

Balozi wa Burkina Faso hapa nchini mwenye makazo yake Nchini Kenya Mhe. Madina Diaby Kassamba Ganou akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu Jijini Dar es salaam Agosti 25,2021 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Burkina Faso hapa nchini mwenye makazo yake Nchini Kenya Mhe. Madina Diaby Kassamba Ganou, baada ya kuwasilisha Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi huyo Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 25, 2021



Balozi mteule wa Guinea hapa nchini mwenye makazo yake Nchini Addis Ababa, Ethiopia Mhe. Gaoussou Toure akiwasilisha Hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 25, 2021 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Guinea hapa nchini Mhe. Gaoussou Toure mwenye Makazi yake Addis Ababa, Ethiopia, Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 25, 2021  









No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.