Saturday, August 28, 2021

BALOZI LIBERATA MULAMULA KATIKA KIKAO KAZI NA MAAFISA WA UBALOZI WA KUDUMU KATIKA UMOJA WA MATAIFA - NEW YORK, MAREKANI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika kikao kazi na watumishi wa Uwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Mataifa New York,Marekani(hawapo pichani)

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika kikao kazi na watumishi wa Uwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Mataifa New York,Marekani; kushoto kwa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania  katika umoja wa Mataifa Balozi Kennedy Gastorn.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika kikao kazi na watumishi wa Uwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Mataifa New York,Marekani

Baadhi ya Maafisa katika Ubalozi wa kudumu katika Umoja wa Mataifa New York,Marekani wakifuatilia maelekezo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb)





 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.