Friday, September 10, 2021

MTOTO BARKA SEIF MWENYE KIPAJI CHA MPIRA WA MIGUU ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UHOLANZI


Mtoto Barka Seif mwenye umri wa miaka 7 ambaye anakipaji cha kucheza mpira wa miguu,akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. Erine Kasyanju alipotembelea ubalozini hapo. Barka Seif yuko Nchini Uholanzi katika klabu ya Ajax.
Mtoto Barka Seif mwenye umri wa miaka 7 ambaye anakipaji cha kucheza mpira wa miguu,akiteta jambo na Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. Erine Kasyanju alipotembelea ubalozini hapo. Barka Seif yuko Nchini Uholanzi katika klabu ya Ajax.
Mtoto Barka Seif mwenye umri wa miaka 7 ambaye anakipaji cha kucheza mpira wa miguu,akisaini kitabu cha Wageni katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Uholanzi. Barka Seif yuko Nchini Uholanzi katika klabu ya Ajax.

Mtoto Barka Seif mwenye umri wa miaka 7 ambaye anakipaji cha kucheza mpira wa miguu,akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Uholanzi Mhe. Erine Kasyanju alipotembelea ubalozini hapo. Barka Seif yuko Nchini Uholanzi katika klabu ya Ajax.
 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.