Sunday, January 12, 2014

Rais wa Comoro atembelea Zanzibar



 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Comoro Ikililou Dhoinine,alipofika Ikulu ya Migombani Mjini Unguja jana ,Rais  wa Comoro alifika nchini kushiriki katika sherehe za Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ambazo kilele chake kitafanyika katika Uwanja wa Amaan.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Rais wa Comoro Ikililou Dhoinine,alipofika Ikulu ya Migombani Mjini Unguja jana ,Rais  wa Comoro alifika nchini   kushiriki katika sherehe za Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ambazo kilele chake kitafanyika katika Uwanja wa Amaan.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na  Rais wa Comoro Ikililou Dhoinine,baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu ya Migombani Mjini Unguja jana ,Rais  wa Comoro alifika nchini  kushiriki katika sherehe za Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ambazo kilele chake kitafanyika katika Uwanja wa Amaan.  (Picha na Ramadhan Othman,IKULU-Zanzibar.)


RAIS KIKWETE ATANGAZA JUMATATU JANUARI 13, 2014 SIKU YA MAPUMZIKO




SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZAFANA ZANZIBAR


Rais wa Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akiwapungia wananchi wa Zanzibar wakati akiingia kwenye Uwanja wa Amani mapema leo hii na gari la wazi kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mamia ya wakazi wa Zanzibar wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Amani kwenye kilele cha Sikukuu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akikagua vikosi vya gwaride kwenye Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar mapema leo hii kwenye Uwanja wa Amani.
Sehemu ya Umati uliofurika wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.  
 

Source:  Vijimambo blog

Saturday, January 11, 2014

New Ambassador of Comoro presents Letters of Credence


H.E. Ahamed El Badaoui Mohamed Fakih, new Ambassador of Comoro to the United Republic of Tanzania presents Letters of Credence to H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete earlier today at the State House, in Dar es Salaam.

Comoro Ambassador gets introduced to Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-opeation.  Also in the photo are Ambassador Vincent Kibwana (2nd left), Acting Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and Ms. Helen Rwegasira, Foreign Service Officer in the Ministry of Foreign Affairs. 

Tanzania Ambassador presents Letters of Credence in Israel


H.E. Mohamed Hamza (right), Ambassador of the United Republic of Tanzania to Israel with residence in Egypt, presents his Letters of Credence to H.E. Shimon Peres, the President of the State of Israel.  The ceremony took place on the 2nd of January, 2014 at the Presidential Palace in Jerusalem. 

President Peres of Israel witnesses Ambassador Hamza as he signs the visitors book at the Presidential Palace in Jerusalem.  

President Peres holds a discussion with Ambassador Hamza. 

President Peres escorted out Ambassador Hamza after they finished their discussion.  Also in the photo is Mr. Nyamanga (right - behind Ambassador Hamza), Head of Chancery at the Embassy of Tanzania in Egypt. 

Ambassador Hamza as he walks out of the Israel Presidential Palace, while the Guards salute him with Tanzania National Anthem.  


Rais Kikwete awaandalia Mabalozi Sherehe ya kuukaribisha mwaka 2014



Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati akihutubia Mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa wakati wa Sherehe ya Kuukaribisha Mwaka Mpya (Sherry Party) aliyowaandalia Ikulu, jana jijini Dar es Salaam.  Wengine katika picha ni Mhe. Bernard K. Membe (Mb) (wa pili kulia), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) (kulia), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

 
Mhe. Balozi Juma Mpango, Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia ni Kiongozi wa Mabalozi hapa nchini, wakati akihutubia katika sherehe hiyo.   

Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi za Kimataifa wanawake wakati wa Sherehe ya Kuukaribisha Mwaka Mpya (Sherry Party) aliyowaandalia jana. 

Rais Kikwete (wa saba kulia, mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Bernard K. Membe (Mb) (wa sita kulia, mstari wa mbele), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) (wa sita kushoto, mstari wa mbele), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi za Kimataifa wakati wa Sherehe ya Kuukaribisha Mwaka Mpya (Sherry Party) aliyowaandalia jana Ikulu. 


Picha zote na maelezo kwa hisani ya Michuzi Blog 

Wednesday, January 8, 2014

US Chargé d'Affaires pays visit to the Ministry of Foreign Affairs


Hon. Dr. Mahadhi Juma Maalim, Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation greets Ms. Virginia Blaser, Chargé d'Affaires of the Embassy of the United States of America to the United Republic of Tanzania.  Ms. Blaser had paid a courtesy visit in his office today to discuss areas of cooperation between the two countries. 

Also in attendance during the meeting were Mr. Adam Issara (2nd right), Private Assistant to the Deputy Minister and Ms. Elizabeth Rwitunga, Foreign Service Officer in the Ministry of Foreign Affairs. 

During their discussion, Ms. Blaser also expressed her Government sadness for the passing of the Finance Minister Dr. William Mgimwa, while sending condolences to the Widow and Family of the Late Mgimwa. 


 All photos by Tagie Daisy Mwakawago 


MAFANIKIO YA WIZARA YA MAMBO YA NJE - MWAKA 2013





MAFANIKIO YA WIZARA YA MAMBO YA NJE - MWAKA 2013