Washiriki
kutoka Tanzania wakiwa katika banda la Tanzania kwenye Maonesho maarufu ya
Utalii ya Kimataifa (Vakantiebeurs 2018) yaliyofanyika hivi karibuni mjini
Utrecht, Uholanzi.
Kutoka kushoto
ni Bw. Willy Lyimo wa Bodi ya Utalii (TTB),
Bibi Agnes Kiama Tengia, Afisa Ubalozi, Bw. Susuma Kusekwa wa Hifadhi za Taifa (TANAPA), Bw. John Sung’are wa African Wildcats Expeditions Ltd.
(Arusha), Bibi Naomi Z. Mpemba, Kaimu Balozi wa Ubalozi wa Tanzania The Hague
Uholanzi na Bw. Mushtaqali Abdalla wa Bobby
Tours and Safaris (Arusha).
|