Saturday, December 15, 2012

Balozi Mujuma ampongeza Mwandishi wa TBC

  
Mhe. Balozi Grace Mujuma (wa pili kushoto), Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zambia na Maafisa wa Ubalozi wamempongeza Bi. Kulthum Ally (katikati), Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kwa kutumia taaluma ya uandishi wa habari kuhabarisha umma juu ya masuala yanayohusu Watanzania  wanaoishi nchini Zambia.  Wengine katika picha ni Bw. Samuel Munatta, Bw. Jeswald majuva na Bw. Huddy Kiangi.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.