Thursday, December 27, 2012

Mkurugenzi wa Asia na Australasia akutana na Balozi wa India hapa nchini

Balozi Mbelwa Kairuki (kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akizungumza na Mhe.  Debnath Shaw, Balozi wa India hapa nchini kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Tanzania na India.
Mhe. Balozi Debnath Shaw akifafanua jambo kwa Balozi Kairuki wakati wa mazungumzo yao.
Balozi Kairuki (kulia) akipokea barua ya mwaliko kutoka Balozi Debnath   kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kiamataifa wa kuhudhuria Maadhimisho ya Taifa la India yatakayofanyika  mwezi Januari, 2013.

Balozi Kairuki akiendelea na mazungumzo na Balozi Shaw. Wengine katika picha ni Bi. Redemptor Tibaigana, Afisa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Asia na Australasia na Bw. Gopal Krisha Pant (wa kwanza kushoto), Afisa kutoka Ubalozi wa India hapa nchini.

Balozi Kairuki akiagana na Balozi Shaw mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.