Friday, October 25, 2013

Balozi wa Pakistan hapa nchini aagwa

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Bibi Angela Kairuki akimkaribisha Balozi wa Pakistan hapa nchini, Mhe. Tajjamul Altaf kwenye hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) kwa ajili ya kumuaga Balozi huyo baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini. Anayefuata nyuma ni Balozi Khalfan Mpango, Balozi wa Congo hapa nchini. Mhe. Kairuki alimwakilisha Mhe. Membe kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency.

Mhe. Altaf akishukuru kwa ushirikiano alioupata kutoka kwa Serikali ya Tanzania katika kipindi chote alichokuwepo hapa nchini.

Mhe. Kairuki, Mhe. Altaf, Mabalozi na Wageni waalikwa wakimsikiliza Balozi Celestine Mushy, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa  alipokuwa akichangia jambo wakati wa hafla ya kumuaga Balozi Altaf.

Mhe. Kairuki akimkabidhi Mhe. Balozi Altaf zawadi ya picha ya kuchora kama ukumbusho kwake.

Mhe. Kairuki katika picha ya pamoja na Balozi Altaf Mabalozi na Wageni waalikwa.




By Mkumbwa Ally

Tanzania and Pakistan enjoyed notable growth in bilateral trade and economic cooperation in the last three years, with the Asian country expanding participation in the Dar Es Salaam International Trade Fair, said Hon. Angela Kairuki, the Deputy Minister for Justice and Constitutional Affairs.

She commended H.E. Tajammul Altaf, the outgoing Pakistan High Commissioner to Tanzania, for his role in fostering relations between the two countries. "You have been an outstanding diplomat," she told him at a farewell dinner hosted by the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard K. Membe on 23 October, 2013.

Hon. Kairuki, who represented Minister Membe, said during Ambassador Altaf's tour of duty, three Pakistan naval ships visited Tanzania and negotiations started to waive visa requirement for Tanzanian diplomatic passport holders visiting Pakistan as a step towards full visa waiver.

The Pakistan High Commission in Tanzania, which was opened in 1967, was closed in 2000 up to 2009, when Ambassador Altaf was appointed to reopen it. "I have enjoyed non-stop hospitality since my arrival in Tanzania and unwavering cooperation from the Ministry of Foreign Affairs," said the envoy, who is being transferred to Prague, Czech Republic.

He accepted Hon. Kairuki's request to be Tanzania's good ambassador and promote the country's tourist attractions in Czech.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.