Friday, October 25, 2013

Balozi wa India hapa nchini atembelea Wizara

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Omar Mjenga akizungumza na Balozi wa India hapa nchini, Mhe. Debnath Shaw kuhusu kuimarisha  ushirikiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na India. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 24 Oktoba, 2013.

Mhe. Shaw akichangia jambo wakati wa mazungumzo yao.
 
Bw. Mjenga akimsikiliza Mhe. Balozi Shaw wakati wa mazungumzo yao. Kushoto ni Bi. Deepa Sehgal, Afisa katika Ubalozi wa India na kulia ni Bw. Charles Faini, Afisa Mambo ya Nje.
 
Bw. Mjenga akiagana na Mhe. Shaw mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.