Sunday, October 13, 2013

Mkutano wa Ajira kwa Watoto Duniani wafanyika nchini Brazil


Bw. David Mwakanjuki (kushoto), Afisa Mwandamizi katika Ubalozi wa Tanzania nchini Brazil akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Tanzania uliomjumuisha Bw. Mkama (wa pili kushoto), Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Ajira na Maafisa, mara baada ya kumaliza Mkutano wa Tatu wa Ajira kwa Watoto Duniani "III Global Conference on Child Labor" uliofanyika mjini Brasilia kuanzia tarehe 8 had 10 Oktoba, 2013. 

Bw. David Mwakanjuki (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Mkama  (katikati) na Bw. E. Kibuta kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Brazil nje ya ukumbi uliofanyika Mkutano wa Tatu wa Ajira kwa Watoto Duniani. 

Bango la Mkutano huo.


Picha na maelezo kwa hisani ya Bw. David Makanjuki



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.