| Ndege iliyombeba Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Mhe. Frank-Walter Steinmeier ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Machi, 2014. |
| Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Mhe. Frank-Walter-Steinmeier akisaini Kitabu cha Wageni alipowasili Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam. |
| Waziri Membe pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Rwekaza Mukandala wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mhe.Steinmeier ( hayupo pichani ). |
| Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb) naye akifuatilia kwa makini hotuba ya Mhe.Steinmeier ambaye hayupo pichani. |
| Washiriki mbalimbali waliokuwepo wakati wa Mhadhara uliotolewa na Mhe.Steinmeier (hayupo pichani). |
| Baadhi ya Wajumbe waliofuatana na Mhe. Steinmeier (hayupo pichani) |
| Picha ya Pamoja. |
| Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikianio wa Kimataifa, Bw. John Haule akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Mhe. Steinmeier. |
| Waziri Membe (Mb) akifafanulia jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani) |
| Waziri Membe akiagana na Waziri Steinmeier mara baada ya kumaliza ziara yake nchini. |
| Mhe. Steinmeier akiagana na Balozi Philip Marmo. |
| Mhe. Steinmeier akiagana na Balozi Msechu. |
| Mhe. Steinmeier akipunga mkono kuaga kabla ya kuondoka nchini. Picha na Reginald Philip |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.