Monday, March 3, 2014

Mhe. Membe ashuhudia mpambano kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akifuatilia kwa makini pambano la mpira wa miguu kati ya Timu ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri (hawapo pichani) lilifanyika katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Mhe. Membe alikuwa mgeni rasmi wakati wa pambano hilo ambapo Timu ya Yanga ilijipatia ushindi wa goli 1-0.
Mhe. Membe aliposhindwa kujizuia kusimama wakati Timu ya Yanga (hawapo pichani) ikielekea kufunga goli. Pembeni yake ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Said Mecky Sadick.
Mhe. Membe kwa pamoja na Mhe. Mecky Sadick wakifurahia goli pekee lililofungwa na Timu ya Yanga  dhidi ya Al Ahly ya Misri.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.