Wednesday, May 27, 2015

Watumishi Wizara ya Mambo ya Nje wawapokea kwa shangwe Katibu Mkuu mpya na Naibu Katibu Mkuu


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akikabidhiwa ua na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Bi Amisa Mwakawago alipowasili Wizarani mara baada ya kuapishwa.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Balozi Simba Yahya naye akipokea ua kutoka kwa Bi. Lilian Mushi mara baada ya kuapishwa.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje na Balozi Mulamula na Naibu Katibu Mkuu Balozi Simba wakipokelewa na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipowasili Wizarani hapo baada ya kuapishwa.




Picha na Reginald Philip 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.