Thursday, November 5, 2015

Marais 7 wawasili asubuhi ya leo kuwahi uapisho wa Dkt. Magufuli


Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame (kulia) akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushiriki sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame akisindikizwa na Waziri wa Mambo ya Nje kwenda kukagua gwaride.
Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame akikagua gwaride.
Mhe. Paul Kagame akikangalia kikundi cha wapiga tarumbeta
========================
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Hailemariam Desalegn (kulia) akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Bernard Membe alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushiriki sherehe za uapisho za Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
Waziri Mkuu wa Ethiopia akikagua gwaride

===========================
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Nyusi akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais Nyusi akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Mhe. Shamimu Nyanduga.
Rais Nyusi akikagua gwaride

================================
Rais wa Zambia, Mhe. Edger Lungu akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Mhe. Lungu akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Mhe. Grace Mujuma.
Rais wa Zambia akifurahia kikundi cha tarumbeta.

==========================
Rais wa Kenya, Mhe. Uhuru Kenyatta akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Kenya akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Haule.

===========================
Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Mhe. Museveni akisalimiana na Afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje, Bi. Ngusekera Nyerere.
Rais Museveni akikagua gwaride.


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.